Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Bw. Ludovick Utouh akimsindikiza katibu mkuu kiongozi Mh. Philemon Luhanjo baada ya kufungua mkutano wa wafanyakazi wote wa ofisi ya taifa ya mkaguzi na kulia kwake ni mkurugenzi wa utawala katika ofisi ya mkaguzi Bi. Selina Lyimo leo ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar
Home
Unlabelled
luhanjo afungua semina ya ofisi yamdhibiti na mkaguzi mkuu wa serikali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...