INTERPREFILM COURSE
- Utunzi na uandishi wa story (Screenwriting)
- Uigizaji na Upangaji wasanii (Acting & Casting)
- Uzalishaji na Uongozaji (Producing & Directing)
- Ubunifu wa Sauti (Sound Designing)
- Upigaji Picha (Cinematography)
- Uhariri wa Sinema (Editing)
- Masoko (Marketing)
WAKATI WA MAFUNZO
- Mwanafunzi atapatiwa kitambulisho, T-shirt maalumu na kukutanishwa na wadau na wasanii wakubwa ili kupanua uelewa wake.
BAADA YA MAFUNZO
- Itafanyika filamu ya mafunzo kwa vitendo (Practical Film) kuthibitisha uelewa wa mwanafunzi.
- Vyeti vya uthibitisho vitatolewa kwa wote.
- Msanii kuajiriwa na kampuni wasimamizi, wadau au kujiajiri mwenyewe!
MUDA WA KOZI: Miezi mitatu (3)
KUANZIA: Tarehe 21/01/2011
FORM ZA KUJIUNGA ZINAPATIKANA KWA Tsh.5,000/= katika ofisi ya Kwanta Teknolojia (Internate Cafe), Kinondoni, Muslim, jirani na Baclays Bank, Mate Barbar Shop, Ubungo Riverside na IFA Tanzania, Jengo la Clock Tower Trading Center, Mnzi Mmoja.
Au piga simu namba 07141696655.
Mtandao ni www.ifatanzania.blogspot.com
Wote mnakaribishwa.
- Utunzi na uandishi wa story (Screenwriting)
- Uigizaji na Upangaji wasanii (Acting & Casting)
- Uzalishaji na Uongozaji (Producing & Directing)
- Ubunifu wa Sauti (Sound Designing)
- Upigaji Picha (Cinematography)
- Uhariri wa Sinema (Editing)
- Masoko (Marketing)
WAKATI WA MAFUNZO
- Mwanafunzi atapatiwa kitambulisho, T-shirt maalumu na kukutanishwa na wadau na wasanii wakubwa ili kupanua uelewa wake.
BAADA YA MAFUNZO
- Itafanyika filamu ya mafunzo kwa vitendo (Practical Film) kuthibitisha uelewa wa mwanafunzi.
- Vyeti vya uthibitisho vitatolewa kwa wote.
- Msanii kuajiriwa na kampuni wasimamizi, wadau au kujiajiri mwenyewe!
MUDA WA KOZI: Miezi mitatu (3)
KUANZIA: Tarehe 21/01/2011
FORM ZA KUJIUNGA ZINAPATIKANA KWA Tsh.5,000/= katika ofisi ya Kwanta Teknolojia (Internate Cafe), Kinondoni, Muslim, jirani na Baclays Bank, Mate Barbar Shop, Ubungo Riverside na IFA Tanzania, Jengo la Clock Tower Trading Center, Mnzi Mmoja.
Au piga simu namba 07141696655.
Mtandao ni www.ifatanzania.blogspot.com
Wote mnakaribishwa.


Tunahitaji pia mafunzo juu ya uhakiki wa filamu. Filamu za Bongo zina hadithi ile ile: Mtu mmoja mwenye shida anafadhiliwa na mtu mwingine mwema. Halafu aliyefadhiliwa anamsaliti mfadhili wake. Kilema cha kutegemea ufadhili na kukosena kwa hadithi anuwai, ni kasoro katika filamu zetu. Lazima tupige hatua zaidi.
ReplyDeleteEbana hii kitu ni bure kweli, mbona alafu wanadai Tsh 5,000.00.
ReplyDeleteKama ni bure sema bure na kama kuna kulipia semeni ukweli.
screen writing au script writing? nyie wenyewe mnachemsha hivyo sasa mtawafundishaje wengine???
ReplyDeleteWa bongo kwa kukosos. Wengine sijui mlisoma enzi za mkoloni na kukalia kukariri kidhungu cha dictionary? Hapo huyo aliyesema screenwritting hajakosea chochote. Kabla hujakosoa mtu kajifunze kwanza. na hao wanaolalamika ati 5000? Mumeambia mafunzo ya bure lakini hizo elfu tano labda ni administration fee. Unajua ni wangapi wanaweza kwenda tu kwa vile ni bure na kutofuatilia au kumaliza mafuzo? Mtu kajitolea kuwapa knowledge chukueni. Huwezi jua utaiihitaji hiyo knowledge lini. Mimi sipo bongo na wala hii sio career yangu lakini ningekua bongo nikwenda na kujifunza kama muda uko.
ReplyDeleteAcheni longolongo mkipewa knowledge tumieni na mshukuru. Ulimwengu wa leo hutakiwi kukaatu na field moja huwezi jua soko la ajira litahamia wapi?
@ anonymous 12:34 pm just FYI. Screenwriting is the art and craft of writing scripts for film, television or video games. If you have nothing good to say don't say anything...
ReplyDelete