Wananchi wanao tumia maegesho chini ya miti jijini Dar wanatakiwa kuwa makini kwani miti mingi sasa imezeeka, na ukichukulia hali yamvua ambayo inaambatana na upepo mkali athari na hasara kwao ni dhahiri kama mdau mwenye gari hili anavyodhihirisha. Picha na mdau Christopher Mfinanga
Home
Unlabelled
mojawapo ya athari za mvua zinazonyesha dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuondoa miti na kupanda mipya sio sahiiiiiii!!
ReplyDeleteKuna wataalamu wa miti,watumie njia za kuhakikisha madhara hayatokei.
kuiondoa ni kuleta madhara kwa mazingira, juhudi zinafanywa kutunza miti ya asili kwa kupunguza matawi kuepuka janga kama hilo.
Tusiropoke bila kufikiaria, na tusiangalie maslahi yetu tu, miti inatunzwa ili idumi karne na karne. Tatizo uzembe mwingi TZ wizari na voingozi miji husika wawajibike
Hiyo miti iliyopo hapo katikati ya mji haishughulikiwi kwa kukatwa matawi na kadhalika kwa hivyo hayo ndiyo matokeo.
ReplyDeleteIjapokuwa mimi siyo mtaalamu wa miti lakini kwa maoni yangu hiyo miti ina matatizo kwani nadhani mizizi yake haikwenda very deep labda kwa sababu fulani (soil type na kadhalika) kwa hivyo imekaa kihasara hasara hivi. Na hasa ile mivinje iliyooteshwa barabara ya baharini (Ocean Road)