Mwenyekiti wa Fabak Fashion Bw. Khamsin akiwa na mama wa mitindo ambaye ni mai waifu wake Asia Idarous Khamsin wakitambulishwa kwa kadamnasi wakati wa shoo ya Lady in Red 2011 iliyofana sana katika hoteli ya Movenpik jijini Dar usiku huu
Mbunifu anayekuja juu kwa kasi Rahma W. Mbarouk wa Asmahan Fashions akiwa na mai hazbendi wake baada ya kuonesha ubunifu wake usiku huu
Meneja wa kilaji cha Redds ambacho ndio wadhamini wakuu wa Lady in Red 2011 Da'Kabula (wa pili kulia) akijiandaa kutoa tuzo ya mbunifu bora wa mwaka. Kulia ni MC Jokate na shoto ni Bw. Khamsin na Asia Idarous-Khamsin
Baadhi ya mamodo nyota na wale wa Kisura
wa Tanzania wakiwa jukwaani
.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...