Home
Unlabelled
SHEMEJI SHEMJI, HUKU WAZIMA TAA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mashemeji wa zamani ilikuwa hadi uwazimie taa, siku hizi wanazizima wenyewe kabla hujawaambia, huwa wanaona unawachelewesha kupata "usingizi mnono".
ReplyDeleteTeh Teh Teh!!!!!!!!!!!!!!!!!
Abiola Jr.
Muziki safi kabisa, uliimbwa mwaka 1965 lakini mpaka leo unafurahisha.
ReplyDeletemimi kwenye kuzima taa siko muziki na mpangliio mzima wa upigaji wa vyombo unaonyesha jinsi gani muziki wa dansi letu unastahili kupigwa na sio bata kavaa kandambili kuku kapiga chafya hii generation ya kiduku inatakiwa kuji funza mambo mengi kwa watu kama hawa hata twanga nakina mzee wafarasi miziki yao ukienda ni ovyo kabisa haina mpagilio wa kukunyanyua kitini na shemeji yako.
ReplyDeletehao mashemeji sio wanawake tu hata wanaume ni mashemeji tena ndio wa kwanza kuzima taa.
ReplyDelete