Home
Unlabelled
muonekano hakisi wa noti mpya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mimi nina swali moja tu kwa wanaolewa kuhusu hizi noti zetu mpya.
ReplyDeleteHivi picha ya nyoka ambayo inaonekana kushoto mwa picha nyingine ya Nkrumah Hall iliyo upande wa nyuma ya noti ya Tshs. 500 ina maana gani hasa?
Nimeshawishika kuuliza hivi kwani nimepata kudokezwa kwamba hiyo picha inahusiana na Free Masonry na kwamba hata kwenye utengenezaji wa noti za nchi mbalimbali ikiwa ni pamoja na Tanzania freemasons wana kawaida ya kuweka mkono wao. Naomba wenye ufahamu kuhusu jamabo hili wanieleweshe.
Kulikuwa na ulazima au na maana kubwa ya kuweka picha ya Rais kikwete katika noti mojawapo ikiwa kama ukumbusho wa upinzani wa CCM iliyopata kutoka vyama vya upinzani
ReplyDelete