

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
safi sana kwa uzalendo,watu kama hawa ndio tunawataka kwa maendeleao ya nchi yetu.ila huyo bwana aitwa IJUMBA.
ReplyDeleteHuu ndio uzalendo sahihi tunaohitaji kwa watanzania. Mwenye nacho awasaidie wasionacho, sio kwa kuwapa samaki tuu bali kwa kuwafundisha kuvua, ili kesho wavue samaki wao wenyewe. Hongera sana Bwana Ijumba, wewe ni bwenga wa tofauti sana.
ReplyDeleteNami nampongeza sana, ameweka hazina yake mahali ambapo haitaoza asilani. OUT wanaweza kumuenzi kwa kuita complex hiyo kwa jina lake.
ReplyDeleteNafurahi kuona iki kitu kimetekelezwa nyumbani..! Hope huu ndo mwanzo...
ReplyDeleteWewe mdau wa hapo juu acha kubadilisha majina ya watu anaitwa Michael Njumba. Ijumba na Njumba wote ni wahaya. Ila si Ijumba ni Njumba.
ReplyDeleteHongera sana Mzee Michael Njumba, wana Kagera tunathamini mchango wako.Tuko nyuma yako.
Mdau Stockholm.
Honorable
ReplyDeleteWakola wakola, wakola muno wayoleke ngonzi zawe....!! Tunakushuru Sana Ta Njumba kuleta maendeleo kwetu BK na Tanzania kwa ujumla. Mungu akuzitishie na zaidi.
ReplyDelete