Picha na Francis Godwin
Picha na Francis Godwin
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Haya ndo mambo inabidi tubadili kwenye Katiba mpya. Kamati ya Bunge yatembelea mgodi ambao mwenyekiti wa bodi ya mgodi ni Mbunge mwenzao!! Maajabu haya! Nani atamfunga paka kengele!
ReplyDeleteNadhani pengine mchanganyiko huu waweza kuzaa matunda fulani japo yaweza kuwa ni kwa muda mrefu. Lakini picha za utajiri huu ni aibu kuona miaka yote hii hautuutumi na bado twalia njaa. Tuiombee kamati hii iwajibike japo chuma hiki kitutoe basi!!!!
ReplyDeleteMbunju
Jamani Tanzania Mungu ametupa NEEMA Kubwa namna hii bado tunahangaika na Umaskini?
ReplyDeleteTatizo ni economic system mbovu. Ujamaa utaendelea kutueletea umaskini mpaka siku tutakapoutupa kama nyoka na kuukumbati ubepari. Haya madini yangekuwepo kwenye nchi za kibepari nchi ingeendelea vibaya mno.
ReplyDeleteAnonymus Tue Mar 08, 06:45:00 pm2011 - unayo sema ni correct kabisa kwamba Mungu ametupa NEEMA kubwa -na bado tunahangaika - ndiyo na wengi watakwambia ni mafisadi na mapapa's hao wanatu malizia, lakine hii sio ukweli - but this is the resposibility of serakali yetu ambaye baado ni mchanga na hawana budi yakuendeleza inchii yetu...kwa mfano - tangu miaka 70 or 80 cheki accidents on our roads - sijawahi kuona even one government official to stand up and say - enough is enough -but hao baado wanaendelea ku travel in big convoys and let poor people fend for them selves on the roads i have not seen a reporter/blogger or wananchis take action against these officials...but it is very easy to put a SPIN on wafisadi and corruption -and it is true it plays a role but officials in the ministry should be fired for every big accidents on transport buses....does any one agree with me?
ReplyDelete...We Anony wa kwanza unaishi wapi weye?, Mzindakaya (Mwenyekiti wa Bodi ya NDC)si mbunge. Alishastaafu ubunge.
ReplyDeletehayo ni makaa ya mawe si chuma
ReplyDeleteLudewa ina neema zote mbili za makaa ya mawe-Mkomang'ombe na chuma katika maeneo ya Liganga.
ReplyDeleteNa makaa ya mawe yamewekwa na mungu ili yatumike kufua chuma. Ni muujiza kwakweli huwezi amini iweje viwe pamoja.
Chuma iliyopo Ludewa-Liganga ni chuma ngumu sana ila nyepesi inayofaa kutengenezea bodi za ndege. Mtaalam mmoja aelezee kwa urefu chuma hiyo ili watu watoe machozi utamu na uzuri wa madini hayo ya hapo Ludewa. Hiyo chuma inapatikana Brazil na ya huko Brazil haifikii ukubwa na ubora wa hii ya Ludewa
Mungu ibariki Tanzania
ndugu yangu uliyeutukuza ubepari hapo juu, issue sio ujamaa ujamaa. Kama ubepari ungekua suluhu Congo ya Mobutu na Kabila ingekua tajiri sana leo hii. Ingawa wao ni masikini kuliko hata Tanzania ya kijamaa pamoja utajiri wao wa rasilimali. Kikubwa ni sera safi na watu walio na uzalendo, ambao sidhani kama wewe binafsi unao!
ReplyDeleteMdau wa March 9, 11:41
ReplyDeleteCongo hawafuati Free Market Capitalism. Capitalism na Freedom vinaendana bega kwa bega. Mobutu alikuwa ame side na Western powers kwenye cold war but hakufuata nyayo za ubepari kama economic system ya nchi yake.
Angalia mfano wa nchi kama Singapore, Korea ya Kusini, Hong Kong, na Taiwan jinsi zilivyoendelea kwa ajili ya ubepari.
Watanzania kila siku tunalalamika hali ngumu ya maisha bila kujua solution ya matatizo yetu. But nashangaa tumeshindwa kugundua kuwa tatizo ni Ujamaa. Ujamaa utaendelea kutufanya kuwa maskini mpaka siku ambayo tutaukumbatia ubepari kama Wachina wanavyofanya sasa hivi.
Free Market Capitalism is the only path to prosperity.
Long Live Free Market Capitalism!
mnaongelea utajiri na neema ya hiki chuma tulichojaaliwa,lakini mkumbuke kwamba mchina kashakabidhiwa achimbe hiko chuma kwa miaka mitano(5)baada ya hapo sidhani kama kutabaki kitu.
ReplyDelete"..Angalia mfano wa nchi kama Singapore, Korea ya Kusini, Hong Kong, na Taiwan jinsi zilivyoendelea kwa ajili ya ubepari.."
ReplyDeleteDuuh!?
tunadhani misaada tunayopewa ya kujengewa barabara inatoka bure. naamini mwenye akili hatasfiriwi. kama mchina au mjapani unadhani watatoa misaada bure bure???watu wameibinafisa nchi ziku nyingi tu lakini hatuna upeo wakujua. tutazungumza siku mbili tunakaa kimya hatuna hata uchungu. Sijui wanaokaa maeneo yanayozunguka madini hayo sijui hali zao ziko wapi. Watanzania tuwe na uchungu na kwakujua kuna kizazi kinafuata kinahitaji neemea kama hizi. tuache kusaini mikataba mibovu kwakujinufasha mtu au kikundi fulani. Shibe ya muda mfupi isitufanye tujawa na njaa ya miaka na miaka.
ReplyDelete