Tunamkumbuka baba yetu mpendwa ambaye leo umetimiza miaka 6 tangu ututoke.
Mungu akulaze pema peponi baba - Amina.
Unakumbukwa na Mkeo mpendwa Mercyline Ishungisa,
wanao,Renatus,Matilda, Edna,Julian na Neema.
Sisi tulikupenda sana ila Mungu alikupenda zaidi.
Tuna kila sababu ya kumshukuru yeye kwa kila jambo.
Mungu akulaze pema peponi baba - Amina.
Unakumbukwa na Mkeo mpendwa Mercyline Ishungisa,
wanao,Renatus,Matilda, Edna,Julian na Neema.
Sisi tulikupenda sana ila Mungu alikupenda zaidi.
Tuna kila sababu ya kumshukuru yeye kwa kila jambo.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa
Jina la Bwana Libarikiwe.
R.I.P Mzee Ishungisa.
ReplyDelete