Kiongozi wa Timu ya Majimaji ya Mjini Songea Bw. Steven Ndauka ( kushoto) akipokea Hundi ya Shilingi milioni 10 kutoka kwa Msimamizi Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Mdaula Fuel Transport Bw. Hafidhi Hashim (kulia). Katikati ni Mjumbe wa Kamati ya uendeshaji wa Timu hiyo Bw. John Nchimbi. Kampuni hiyo imetoa msaada huo ili kuiwezesha Timu ya Majimaji kujiendesha bila kutegemea makusanyo ya mlangoni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. We hafidh huna uzalendo kabisa.Badala ya kuipiga jeki timu yako ya simba unawapa majimaji acha siasa wewe.Muchacho watakutimua.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...