Singo mpya ya Mh. Vicky Kamata, ambaye licha ya kuwa Mbunge hajasahau fani yake. Ameiambia Globu ya Jamii mchana huu kwamba hivi sasa yuko Studio (baada ya kutumikia wananchi katika shughuli za bunge)akiandaa vibao kadhaa kabla ya kumwaga albamu yake hivi karibuni. Kwa video hii na nyingine kibao BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Kuku ulimwiiba kwa Mfalme na ukamla. endelea kula tu Mheshimiwa Vicky. Lakini wimbo hauna mtiririko wa kimantiki. Jitahidi mara nyingine utoe nyimbo zenye mtiririko mzuri kimantiki.

    ReplyDelete
  2. mimi napenda wanawake na maendeleo - alitoka alivyo

    ReplyDelete
  3. Huyo kuku huyo - we endelea tu kula mana ulishamla - msamaha mtu yoyote aweza toa mdomoni lakini sio moyoni - usijidanganye bado una deni kubwa sana

    ReplyDelete
  4. Haki sawa kwa wote. Fursa alizopata Vicky zingekuwa zinapatikana kwa wote WANAWAKE NA MAENDELEO ingekuwa mswano..mara BOT, then UK..ghafla ubunge viti maalum..mh!!

    ReplyDelete
  5. Wimbo mzuri Vicky.well done

    ReplyDelete
  6. Mwizi wa kuku ni mafisadi, Mfalme watanzania, so wajitokeze na waombe msamaha.Mambo ya fasihi haya. good job Vicky!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...