Wadau kunradhi, umeme haujarudi bado huku.
Ngapi ngapi huko Anfield leo???
-Ankal
Ngapi ngapi huko Anfield leo???
-Ankal
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mechi imealishwa vile vile umeme umekatika Anfield
ReplyDeleteLiverpool 3 - Man Utd 1.
ReplyDeletePIGA vigelegele
ReplyDeleteMANU wamenyolewa matatu kwa moja
Hilo goli la Manu ilikuwa kama ni zawadi tu katika dakika 2 extra. Ilikuwa ni kuwafuta machozi kwani walikuwa waondoka uchi
mpaka natoka dakika ya 57 livepool 2 man united 0
ReplyDeletebwawa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee...............mvua 3 za maana poleni sana wana united hakuna united tena hapo....na bado...mvua zaidi zinakuja vibonde wetu.............
ReplyDeleteWewe muongo kwani uwezi kujuwa kwenye mtandao na umeandikaje hii commment hapo!! but mpira hakuna leo kuna joto saaana huku!!!
ReplyDeleteHUKU KUNA MGAO WA JUA..SNOW IMEMWAGIKA GAME IMEHAIRISHWA..:(
ReplyDeleteNimefurai kweli, walifikiri wameshachukua ushindi. Bwawa OYYYEEE!
ReplyDeletehahahahahah kipofu kaona punda
ReplyDeleteMechi imeahirishwa maana Ferguson amechelewa kupeleka jina la refa.
ReplyDeleteWanaojua 3 Wasiojua 1
ReplyDeleteMpaka sasa bado ni siri, kwa hiyo subiri matokeo rasmi saa mbili kasoro.
ReplyDeleteumewezaje kutuma ujumbe huo bila umeme hahaha sisi sio vipofu
ReplyDeleteMechi haijahairishwa wala nini ngoma ni 3-3. LIVA TATU(Defao or I'm sorry ni Defoe dk34 & 46+ na Demba 78) na MAN U TATU (Ronaldo dk40, Teves 81 na Uwen no no no majina ya kidhu haya, ni Muoeni, mmhmm ulimi hauna mfupa Owen 89dk)
ReplyDeleteMdau Nikitokea uwanjani
livepool wamebahatika..ankal contact me nikuletee jenereta bureeeeeeeeeeeeeeee
ReplyDeleteMungu ameinua joka wa shaba shida iko wapi watu wanapona! Au mnataka hao maaskofu na manabii wanaotumia nguvu za giza kuvuta pesa zenu ndo muamini. Sasa kasikia kilio cha watu wake 500 unapona na wala hiyo 500 hachukui ni ya kanisa tu.
ReplyDeletePole usiamini. Subiri Yesu anakuja peke yake ndo uamini sio kama Tomaso (Jua Tomaso ilikuwa ni neema tu).