Waziri wa Maji, Profesa Mark Mwandosya (wa pili kulia), akisikiliza maelezo kutoka kwa mwakilishi wa kampuni ya STÜWA inayotengeneza vifaa na pampu za visima; Peter Kazaura (kushoto), huku Balozi mdogo wa Ujerumani, Hans Koeppel (katikati), akisikiliza maelezo ya namna teknolojia ya uzalishaji wa vifaa vya visima, wakati wa uzinduzi wa wiki ya maji Kitaifa uliofanyika Jijini Mwanza. Kifaa anachooneshwa Waziri Mwandosya ni pampu inayochuja maji kwenye kisima. Picha na mdau Sitta Tumma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Duh! nilivyoangalia fasta nilidhani anapata kikombe cha babu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...