Baadhi ya Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar SUZA ,wakiwa katika maandamano wakati wa Sherehe za Kutawazwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,kuwa Mkuu wa Chuo Hicho zilizofanyika leo katika viwanja vya chuo hicho Majestik Mjini Unguja.PIcha na Ramadhan Othman, Ikulu.
Home
Unlabelled
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein leo atawazwa kuwa mkuu wa Chuo kikuu cha SUZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tukisema ukweli huweki post zetu...Weeee MIchuzi Muogope Mungu....Ndio maana nchi za uarabuni zimeona hakuna freedom ya kuelezza jambo unaloona ni kweli na linakosoa jamii nevertheless viongozi....Haya bwana unenepe sanaaaa tu lakini one day utajibu maswali mengi tu....
ReplyDelete