Ofisa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania Bw. Elihuruma Ngowi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa Promosheni ya kuwa milionea kila siku kwa muda wa siku 70,tuma sms yenye neno Pesa kwenda 15544 na kujishindia milioni 3 kila siku katika promosheni hiyo,jumla ya shilingi Milioni 210 kushindaniwa,katikati Mtaalamu wa bidhaa Vodacom Tanzania Yvonne Maruma, Mtaalamu wa Mambo ya Habari wa kampuni hiyo Matina Nkurlu.
Mtaalamu wa bidhaa Vodacom Tanzania Yvonne Maruma akionyesha hatua zitakazotumika katika kutuma sms kwenda namba 15544 na kujishindia milioni 3 kila siku katika promosheni ya kuwa milionea kila siku kwa muda wa siku 70 jumla ya shilingi Milioni 210 kushindaniwa,katikati Ofisa bidhaa na huduma Vodacom Tanzania Elihuruma Ngowi, Mtaalamu wa Mambo ya Habari wa kampuni hiyoMatina Nkurlu.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...