Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania,Dr Sander Gurbuz,alipowasili katika uwanja wa ndege wa Ankara Nchini Uturuki,akifuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,pamoja na Viongozi wengne wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzi bar,katika ziara Rasmi kufuatia mwaliko wa Rais wa Nchi hiyo.
-Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akibadilishana mawazo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania,Dr Sander Gurbuz,(kushoto) na Balozi Hassan Servat Oktem,Mkurugenzi Mkuu wa Mambo ya Uhusiano wa Kisiasa wa Nchi wa Wizara ya mambo ya nje ya Jamhuri ya Uturuki,(kulia) pamoja na viongozi wengine wa Serikali ya Uturuki jana alipowasili katika uwanja wa ndege wa Ankara Nchini Uturuki,akifuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,pamoja na Viongozi wengne wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzi bar,katika ziara Rasmi kufuatia mwaliko wa Rais wa Nchi hiyo.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania,Dr Sander Gurbuz,(kulia),alipowasili katika uwanja wa ndege wa Ankara Nchini Uturuki,akifuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,pamoja na Viongozi wengne wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzi bar,katika ziara Rasmi kufuatia mwaliko wa Rais wa Nchi hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Gulfstream G550 kwa nyuma.

    ReplyDelete
  2. Rais kwanini anapokelewa na balozi?

    ReplyDelete
  3. kwani Zanzibar nchi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...