Rais wa Tanzania,Dr. Jakaya Kikwete (kulia) pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein (wapili Kulia) wakijumuika kwa pamoja na viongozi wengine katika kumuombea dua marehemu Mzee Abeid Amani Karume,katika kaburi afisi kuu ya CCM Kisiwandui leo.
Rais wa Tanzania,Dr. Jakaya Kikwete (kulia) pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein (wapili Kulia) wakijumuika kwa pamoja na viongozi wengine katika kumuombea dua marehemu Mzee Abeid Amani Karume,katika kaburi afisi kuu ya CCM Kisiwandui leo.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...