
MSANII wa muziki wa injili nchini Miriam Lukindo Mauki anatarajia kuzindua video ya albamu yake ya pili iitwayo "Ni asubuhi", uzinduzi huo utafanyika Aprili 10 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee,jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari asubuhi hii, Miriam alisema ili kupamba uzinduzi huo wasanii mbalimbali wa muziki wa Injili watasindikiza.
Aliwataja wasanii hao kuwa ni pamoja Christina Shusho, Jackson Bent, Martha Mwaipaja, The Voice Band, The Whispers, Makuti Kawe na Marion Shako kutoka Nchini Kenya.
Nyimbo zilizomo kwenye albamu hiyo ni pamoja na Ni asubuhi, Sema na Moyo wanghu, Anasikia,Amefanya, Wewe ni sababu, Mungu yu Mwema, Twende na Yesu na Amen Amen.
Aidha, kiingilio katika uzinduzi huo kimepangwa kuwa ni sh.10,000 kwa viti maalum na 5,000 kwa viti vya kawaida.
Akizungumza na waandishi wa habari asubuhi hii, Miriam alisema ili kupamba uzinduzi huo wasanii mbalimbali wa muziki wa Injili watasindikiza.
Aliwataja wasanii hao kuwa ni pamoja Christina Shusho, Jackson Bent, Martha Mwaipaja, The Voice Band, The Whispers, Makuti Kawe na Marion Shako kutoka Nchini Kenya.
Nyimbo zilizomo kwenye albamu hiyo ni pamoja na Ni asubuhi, Sema na Moyo wanghu, Anasikia,Amefanya, Wewe ni sababu, Mungu yu Mwema, Twende na Yesu na Amen Amen.
Aidha, kiingilio katika uzinduzi huo kimepangwa kuwa ni sh.10,000 kwa viti maalum na 5,000 kwa viti vya kawaida.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...