Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa United Bank Of Africa, Ajobola Abiola (katikati) wakati alipofika Ikulu Dar es Salaam leo kwa ajili ya mazungumzo.Kushoto ni Ofisa wa benki hiyo, Lilian Mboja.
Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa United Bank of Africa, Ajobola Abiola (wapili kushoto) na Ofisa wa benki hiyo, Lilian Mboja (kulia) na Shiraz Jafar, wakati walipofika Ikulu Dar es Salaam leo kwa ajili ya mazungumzo. Picha na Muhidin Sufiani-VPO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...