Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dkt. Charles Kimei akifafanua jambo wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa 27 wa Serikali za Mitaa (ALAT) katika hoteli ya Kunduchi Beach Jijini Dar es Salaam ambapo Benki ya CRDB ilikuwa ni mdhamini. Katika Mkutano huo Dkt. Kimei aliahidi kulipatia ufumbuzi suala la Mikopo kwa madiwani. Kushoto ni Mwenyekiti wa Muda wa Kikao hicho Mstahiki Amiri Juma Nondo, Meya wa Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...