Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi (Hesabu za Serikali) Zanzibar, wakati walipofika Ikulu Dar es Salaam leo kwa ajili ya mazungumzo na kumsalimia baada ya kumaliza mafunzo ya siku nne ya kamati hiyo kuhusu Usimamizi na Matumizi ya fedha za Serikali yaliyomalizika hivi karibuni jijini Dar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi (Hesabu za Serikali) Zanzibar, baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam leo.wajumbe hao walikuwepo jijini Dar kwa mafunzo ya siku nne ya kamati hiyo kuhusu Usimamizi na Matumizi ya fedha za Serikali, yaliyomalizika hivi karibuni. Picha na Muhidin Sufiani-VPO
Brother Michuzi na wadau, mimi naomba niulize kwa wale ambao mmewahi kwenda Ikulu...Hivi kule kuna vazi linatakiwa au unavaa unavyotaka.
ReplyDeleteKwasababu naona mshikaji kwenye picha kapiga sandles tu, tena yuko karibu na makamu wa rais. Inawezekana hakuna dress code ila nafikiri tunahitaji tuweke unwritten rules za kuheshimu baadhi ya maeneo
Ni wazo tu