
Miss TZ 2010 Bi Genevieve Mpangala akiwa na Afisa Itifaki Mkuu wa Kamati ya Miss Tanzania, Bw. Albert Makoye (kushoto), na mpambe wa Miss TZ Bi. Zakhia Ally (Kulia) wakisubiri mara tu baada ya kuwasili katika hoteli ya Victorious Perch mjini Bukoba leo, tayari kuanza ziara ya kikazi ya mkoa wa Kagera ambapo atatembelea vituo vya watoto yatima vya Uyacho na Nusuru yatima vilivyoko katika manispaa ya Bukoba. Picha na Audax Mutiganzi wa Globu ya Jamii.
'NYEGERA KAISIKI"..NYEGERA AKAMWANI...NYEGERA AKASENENE...Dada 'Jene' chonde chonde usisahau kutembelea gulio la Katerero.Ni kila Jumatano na Jumamosi..Dak 20 tu kutoka Bukoba mjini,barabara-Lami.Tafadhali sana.
ReplyDeleteDavid Villa