Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza wakati alipofungua mkutano kati ya serikali na wawakilishi wa nchi wahisani ambazo zimekubali kuisaidia Tanzania kwenye bajeti yake ijayo leo katika ukumbi wa St. Gaspar mjini Dodoma.

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiteta na Balozi wa Norway nchini, Mh. Ingunn Klepsvik katika mkutano huo kati ya serikali na wawakilishi wa nchi wahisani waliokubali kuchangia bajeti

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...