Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Maimuna Tarishi akizindua mpango wa kutokemeza malaria wa Tanzania Tourism Unites Against Malaria usiku wa kuamkia leo hoteli ya Movenpik jijini Dar es salaam
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Maimuna Tarishi akiwa meza kuu na viongozi wengine wadau wa mpango huo kabambe. Picha na John Bukuku wa Full Shangwe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...