Marehemu Chrisostom Bakuza


TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO YA MPENDWA WETU CHRISOSTOM BAKUZA KILICHOTOKEA TAREHE 06 MEI 2011 KATIKA HOSPITALI YA BURHAN SAA 4 USIKU. MAREHEMU ALIZIKWA TAREHE 10/05/2011 HUKO BUKOBA.


DAIMA TUTAKUKUMBUKA KWA MNAMNA YA KIPEKEE JINSI ULIVYOSHIRIKIANA NASI KATIZA SHUGHULI MBALIMBALI KWENYE SEKTA YA BIMA KWA UJUMLA WAKATI WA UHAI WAKO.


MPENDWA WETU ULALE MAHALI PEMA PEPONI.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...