Meneja Mahusiano wa Precision Air,Emilian Rwejuna akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma yao mpya ya ununuzi wa tikeki za ndege zao kwa njia ya mtanda,ambapo sasa mteja anaweza kununua tiketi za shirika hilo kwa kutumia kadi maalum (Creadit Card).Katikati ni Mkurugenzi wa Biashara,Phil Mwakitawa na kulia ni Mkurugenzi wa Maswala Mitandao na Mawasiliano,Gardy Mbala.
Meneja Mahusiano wa Precision Air,Emilian Rwejuna akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma yao mpya ya ununuzi wa tikeki za ndege zao kwa njia ya mtanda,ambapo sasa mteja anaweza kununua tiketi za shirika hilo kwa kutumia kadi maalum (Creadit Card).Katikati ni Mkurugenzi wa Biashara,Phil Mwakitawa na kulia ni Mkurugenzi wa Maswala Mitandao na Mawasiliano,Gardy Mbala.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...