Mtangazaji Abdulhakim Busulwa aka Ssebo akiwa na mai waifu wake Tahjir Siu Busulwa kwenye mnuso wa kumeremeta kwao kwenye Hoteli ya Movenpick,jijini Dar.Picha na Unique

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 04, 2011

    Hongereni Mwenyezimungu azidi kuwapa neema ya mapenzi na awajaalie watoto wema na awaepushe na kila balaa. Michuzi samahani na enda nje ya Mada weka Video hii nimeiona Youtube demu anakipaji na Sketi.

    http://www.youtube.com/watch?v=QqaoGzgM_G4&feature=player_embedded

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 05, 2011

    Hongera Ssebo. Karibu sana kwenye uwanja wa wapenda nao. Raha ya mapenzi ni ndoa. Furaha ya ndoa ni kuishi wawili. Hongera!

    Mama Bishanga
    Cleveland, Ohio

    ReplyDelete
  3. Dear Ssebo & Tahjir

    congratulations to your wedding!

    I wish you both just the very best in your future together.
    May you always be happy, always be there for each other and solve all problems together!

    You deserve to have sunshine for the rest of your life!

    Mayange.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 05, 2011

    Jina la kwanza la Ssebo si ni Dennis?

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 05, 2011

    Kwani Maharusi hao kabila gani? Majina yao yamenitoa ushamba hata kutamka.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 18, 2011

    congs boss.. ivan IKOBA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...