Wachezaji wa timu ya mkoa wa Tanga na timu ya taifa ya vijana ,U-23 wakisalimiana kabla ya mchezo wao kuanza.Timu ya U-23 a.k.a vijana wa Julio waliibuka kidedea kwa kuifunga Tanga mabao 3-1.
Mchezo kati ya Kilimanjaro worrios na Mount Meru worrios ukiendelea.Timu ya Mount Meru Worrios ya Arusha iliifunga timu ya mkoa wa Kilimanjaro mabao 3 kwa 0.
Wachezaji wa timu ya mkoa wa Arusha wakimsikiliza kocha wakati wa mapumziko.
Wachezaji wa timu ya soka ya mkoa wa Kilimanjaro wakimsikiliza kocha wao Abdalah Chuma wakati wa mapumziko.
Mashabiki wa timu ya mkoa wa Kilimanjaro wakifuatilia pambano dhidi ya timu ya mkoa wa Arusha.Picha na Dixon Busagaga -Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 11, 2011

    Hivi hawa wanaondika hawana "spell Checker" kwa haya maneno ya kizungu? "Worrios" ni nini? Au tumezee tuu na our kind of English?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...