Lady Jay Dee akitambulishwa kwa bosi mkuu wa NMB kabla ya kuanza kutumbiza
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akifunua pazia kuashiria uzinduzi wa jengo la Bank House lililokarabatiwa upya na NMB kwa ajili ya huduma bora zaidi
Mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 ambayo NMB imetoa kwa hospitali ya saratani ya Ocean road ambako Mkurugenzi wa hospitali hiyo Dr. Ngoma (wa pili shoto) anapokea toka kwa Waziri Mkuu
Meya wa Manispaa ya Ilala Mstahiki Jerry Silaa akitambulishwa na Shyrose Bhanji kwa bosi wa NMB
Bosi wa Masoko wa NMB Bw. Imani Kajula akibadilishana mawazo na Bi. Shyrose Bhanji, afisa Uhusiano wa NMB. Kwa mapicha zaidi ya hafla hii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...