Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) Profesa John Nkoma akitoa mada leo jijini Dar es salaam kuhusu sekta ya mawasiliano nchini Tanzania. Mkurugenzi Mkuu huyo alikuwa akitoa mada kwa wahariri wa vyombo vya habari hapa nchini ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Duniani ambapo mada kuu tekonolojia kwa maisha bora kwa jamii za vijijini.
Home
Unlabelled
wiki ya teknohama yaanza na semina ya tcra kwa wahariri leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...