Legend wa muziki wa AfroPop OLIVER  'TUKU' MTUKUDZI toka Zimbabwe atafanya onesho maalum na Malkia wa AfroPop LADY JAYDEE wa Tanzania.

Show hii special itafanyika Jumapili tarehe  19 June pale katika mgahawa wa NYUMBANI Lounge inayomilikiwa na Jide mwenyewe.

Viingilio ni 30,000 na 50,000 seat maalum pamoja na Dinner nzuri sana ya BBQ.
OLIVER Mtukudzi na Black Spirit Band kwa pamoja na LADY JAYDEE na Machozi Band show itaanza saa 2usiku mpaka saa 8usiku.
Kwa Booking mpigie Gardner G. Habash
+255 784 884007
Oliver 'Tuku'Mtukudzi -Todii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 15, 2011

    dah!itakuwa bonge la show,big up jide,thats why i lovu,my mother alikutabiria kuwa bonge la musician about 11 years ago when i was in form 1,mawenzi sec moshi,nyumba nzima ilikuwa inamfagilia jide(kumbuka machozi song),na mom akasema "huyu atakuja kuwa mwanamuziki maarufu tz" na kweli yametimia.too bad hayupo tena duniani kukupongeza jide.icitoshe namzimia sana mutukudz sinc long,nina cd zake kibao as well as zako jide.so ckukosea kukulike sinc long,keep it up 2po pamoko-says lucy

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 15, 2011

    angalieni msituangushe kama aasekela. tayarisheni genereta na hoteli za wageni vyumba visafishwe. chekini genereta kama ziko fresh kuna time zinagoma

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...