Mwanamuziki mashuhuri wa muziki wa Jazz kutoka Afrika Kusini, Hugh Masekela (kulia) akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu jinsi alivyojiandaa kwa onesho litakalofanyika kesho kwenye Hoteli ya Golden Tulip, Dar es Salaam. Kushoto ni Sauda Simba  ambaye naye atafanya shoo ya utangulizi. Onesho hilo limedhaminiwa na Benki ya Stanbic.
Sauda Simba akizungumza
Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Benki ya Stanbic, Abdallah Singano akizelezea kuhusu shoo hiyo. Picha na Kamanda wa matukio Richard Mwaikenda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 11, 2011

    hii band ya masekela kutoka Africa kusini wanapiga music vizuri sana yaani hi band naipenda sana tu laiti ningekuwa bongo hakika nisingeikosa kuudhuria wanabongo mtainjoii sana

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 11, 2011

    nimekwisha muona masekela playing in usa na kwakweli watu wengi walimpenda sana. mziki wake sio mchezo. siko tanzania kwa hivi sasa lakini ningependa kumwambia masekela WELCOME TO TANZANIA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...