Kocha Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Jan Poulsen (kulia), akitoa mafunzo kwa makocha wa mpira wa miguu leo katika semina iliyofanyika kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 11, 2011

    Hawa makocha wawili wa kike wako mbaaaaali, hata hawasikilizi. Kweli fani imepotea njia!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 12, 2011

    lugha mzee

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...