Mshiriki Christina Wiliam amefanikiwa kutwaa taji la Voda Com Miss Iringa usiku huu katika ukumbi wa Highland mjini Iringa, huku Ritha Justine akishika nafasi ya pili , na Zay Mselemu akishika nafasi ya tatu wakati nafasi ya nne imekwenda kwa Happines James na  ya tano imekwenda kwa Jackline Erick. Picha na Misanjo Livigha wa mtandao wa Francis Godwin

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...