Kikosi cha Elman ya Somalia
 Kikosi cha Bunamwaya ya Uganda
 Mshambuliaji wa timu ya Bunamwaya ya kule nchini Uganda,Odur Tonny (10) akiruka juu kumkwepa Beki wa timu ya Elman ya Somalia,Mohamed Hassan (12) katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Taifa wa Jijini Dar es Salaam leo.Mpaka kipenga cha mwisho kinalia Bunamwaya ilikuwa ikiongoza kwa bao 4-0.
 Mchezaji wa Bunamwaya,Kisaliita Ayub (kushoto) akichuana vikali na beki wa Elman,Badri Ahmed wakati wa mchezo wa CECAFA Kagame-Castle Cup uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar jioni ya leo.

Ubao wa Matokoe unavyoonyesha mara baada ya dakika tisini kumalizika.
Patashika Langoni mwa Elman ya Somalia.
Sehemu ya Mashabiki wachache waliofika katika uwanja wa Taifa jijini Dar,jioni ya leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...