Kikosi cha Elman ya Somalia
Kikosi cha Bunamwaya ya Uganda
Mshambuliaji wa timu ya Bunamwaya ya kule nchini Uganda,Odur Tonny (10) akiruka juu kumkwepa Beki wa timu ya Elman ya Somalia,Mohamed Hassan (12) katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Taifa wa Jijini Dar es Salaam leo.Mpaka kipenga cha mwisho kinalia Bunamwaya ilikuwa ikiongoza kwa bao 4-0.
Mchezaji wa Bunamwaya,Kisaliita Ayub (kushoto) akichuana vikali na beki wa Elman,Badri Ahmed wakati wa mchezo wa CECAFA Kagame-Castle Cup uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar jioni ya leo.
Patashika Langoni mwa Elman ya Somalia.
Sehemu ya Mashabiki wachache waliofika katika uwanja wa Taifa jijini Dar,jioni ya leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...