Mwenyekiti wa Boy George Promosheni Yusuph George, ambao ni waandaji wa shindano la miss Kinondoni akiongea na waandishi wa habari kuhusiana na maandalizi na kutoa muuongozo kwa warembo waliofanikiwa kuingia katika kambi hiyo inayoanza rasmi jumatano wiki hii Mzalendo Pub Makumbusho,kushoto ni Afisa udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude,Meneja wa kinywaji cha redds Victoria Peter.
Afisa udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude akiwasalimia baadhi ya warembo wanaoshiriki miss Kinondoni wakati walipotambulishwa rasmi jana tayari kwa kuanza kambi yao siku ya jumatano wiki hii Mzalendo Pub Makumbusho jijini Dares Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2011

    Huyo mwenyekiti anajua maana ya "Boy George" lakini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...