Mchakato wa kuwatafuta washiriki wa BONGO STAR SEARCH 2ND CHANCE umeanza na baadhi ya washiriki waliwahi kushiriki katika shindano hilo kwa miaka ya nyuma washajitokeza.
Kwa taarifa zaidi juu ya shindalo hilo na namna ya kuweza kumpigia kura mshiriki umtakae.tembelea libeneke la Bongo Star Search kwa link hii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2011

    ilikuwa Big brother all stars, Tusker nayo, BSS nayo hahahah

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...