Waziri mkuu wa uingereza,Mh. David Cameron akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Peter Kallaghe pamoja na Familia yake wakati walipohudhuria Parade maalum inayofanyika kila mwaka ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Malikia Elizabeth II.
Balozi Peter kallaghe akiwa na familia yake nje ofisi na makazi ya waziri mkuu wa nchi ya Uingereza Mh. David Cameroon, 10 Downing street, London.
Malkia Elizabeth ll akiwa katika gari linalovutwa na farasi wakati akiingia viwanjani hapo.
parade ya nguvu

Salam,

Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter A. Kallaghe na familia yake walipata mwaliko maalum katika ofisi ya waziri mkuu nchini uingereza mheshimiwa David Cameroon 10 Downing street, London siku ya Jumamosi tarehe 11/6/2011 kuhudhuria "trooping The colour", Parade maalum ya kila mwaka ya kuadhilimsha siku ya kuzaliwa kwa Malikia Elizabeth II.
Asanteni, imetumwa na
Urban Pulse Creative

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 14, 2011

    Wakati huo Malkia alikuwa akikagua gwaride na si kuingia uwanjani kwani aliingia uwanjani akiwa na mumewe. Kwenye picha hapo juu mmewe hayupo alimuacha kwenye jukwaa.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 14, 2011

    Balozi huyu anapendeza sana na familia yake. So cool!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 15, 2011

    Ya dey luk gud. e hepi famili

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 15, 2011

    ulaya hamna nyasi jamani maana kilasehem kumesakafiwa au?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...