Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda akiwaongoza wabunge wa Bunge la Tanzania kuimba wimbo wa Taifa jana mjini Dodoma kuashiria kuanza kwa kikao cha kwanza cha mkutano wa nne wa Bunge la Tanzania
Baadhi ya wabunge wa Tanzania wakifuatilia kwa makini kipindi cha maswali na majibu jana mjini Dodoma wakati wa kuanza kwa kikao cha kwanza cha Mkutano wa Nne wa Bunge la Tanzania mjini Dodoma.

Waziri Mkuu - Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda akijadiliana jambo na Waziri wa Ujenzi John Magufuli jana mjini Dodoma kabla ya kuanza kikao cha kwanza cha Mkutano wa Nne wa Bunge la Tanzania. Picha na Tiganya Vincent - MAELEZO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...