Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 26, 2011

    Mwandishi/mwanablog ambae unasema wewe ni mkereketwa wa CCM unaetokea mororgoro sijapenda lugha yako uliotumia kwa kumwita mkuu wa msafara wa mwenge mpemba, unamaanisha nini ? kwani ungesema mkimbiza mwenge pekee isingetosha mpaka useme mpemba sio lunga nzuri hio ,imekaa kibaguzi sema jina lake inatosha tu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 26, 2011

    mhh...mbona hata sielewi mheshimiwa katibu anachojaribu kuelezea.Anaelezea sera au utendaji,make naona kama vile kuna mkanganyiko wa vitu vingi...

    Inawezekana wenzangu wamemuelewa

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 27, 2011

    ya angalau tunaona damu mpya kwenye hii CCM. Ilikua kila siku wazee tuuu. huyu jamaa naona ana mtazamo wa kimapinduzi

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 27, 2011

    Meneono anayoyasema nape sidhani kama yatakuwa rahisi kuyatendea kazi maana yanahitaji kujitoa muhanga sijui kamayupo tayari kivitendo kujitoa muhanga ili kuyatendea kazi anayoyasema.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...