Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanamichezo kutoka Bunda kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo. Kushoto kwake ni Mbunge wa Bunda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mh. Stephen Wasira na kulia ni Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Esther Bulaya.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Busanda, Mh. Lolesia Bukwimba na Mbunge wa Viti Maalum, Lucy Owenya (katikati) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...