Mshambuliaji wa timu ya Ocean View ya Zanzibar, Said Rashid (kushoto) akitafuta mbinu ya kumtoka beki wa Red Sea ya Eritrea, Temesgen Asefaw katika mchezo wa kombe la Kagame Castle Cup  uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Ocean View ilishinda mabao 2-0. PICHA NA FRANCIS DANDE WA GLOBU YA JAMII. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2011

    hongera sana ocean view tunakukubali kwa kuonesha kiwango kizuri hasa katika mashindano haya kimataifa. big uuuuuuuuuuupppppppppppppppppp

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...