Ankal akijadiliana jambo na Sunday Shomari wakati Da' Khadija Riyami akipiga boksi katika chumba cha habari cha Idhaa ya Kiswahili ya Voice of America (VOA) jijini Washington DC
Ankal akiwa kazini
Ankal akila kakonozzzz na Da' Aida Issa, mtangazaji mahiri wa Voa Idhaa ya Kiswahili ambayo kwa sasa inachanja anga kama haina akili nzuri kwenye nchi zote zinazoongea lugha ya Kiswahili duniani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 30, 2011

    MUONGOZO
    alooh ; hii Da fulani imezidi , hao wengine mnao waita kina da fulani wengine si ni rika letu sasa hamtutendei haki ; nadhani tumieni weledi wa uandishi wa habari.

    ReplyDelete
  2. ZeroBrainJuly 30, 2011

    Misupu usitudanganye bwana hapo hakuna KONOZZZZZZZZ bali umeshika KITI kule nyuma kwa kuegemea.

    Unadhani kila mtu anapenda konooz lako hilo? Subutu kama hayajakukuta ya Yule Boss wa IMF- Strauss. Hiyo ndo Amerika bwana, sio bongo. Konozz lako ni hukuhuku BONGO.

    Ukichukia usipoiweka poa lakini mesej sent.

    Tehe teh tee!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 30, 2011

    akal tisheti yako bana

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 30, 2011

    Sasa hapo upo kazini na hiyo PC ishakuwa locked daah michuzi hapo unatuibia!

    ReplyDelete
  5. nshimimana aka dumisaneJuly 30, 2011

    kaka naona unajiandaa kula box hapo, itabidi u log in kwanza lakini, ama sivyo hutapata dolari (dollar).

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 30, 2011

    Ankal badili hio fulanaz basi tangu ufike hio hio tuu.....majasho ya Bongo....duh

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 30, 2011

    Password unayo au unahack computer ya watu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...