Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 24, 2011

    Kweli wawataje maana ninachoona hapo isije kuwa serikali imetunga ili kuchafua viongozi wa dini. Inawezekanaje mtu awe anauza madawa afu eti mnamuhifadhi sijuhi ili mlinde heshima yake ya dini. Ana heshima gani. We are tired na kulindana na uongo.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 24, 2011

    Is true wasipowataja wanawaogopa na au wamezua tu kuharibu dini za watu. Ovyo mtamlindaje muuaji anaye tumia Mungu vibaya. PLease put it open. We want to know even if is my pastor, bishop is better to know where are we

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 24, 2011

    mimi nashanga sana na hii serikali yetu. Unaposema kuwa viongozi wa dini wanauza madawa ya kulevya. Sasa kama wanauwakika na hilo sheria zipo wapi. Nakama sheria ipo mbona haichukui nafasi yake. Je serikali inatufundisha nini sisi wananchi. Huku ni kujitia aibu kwa serikali kama hakuna ushahidi wakae kimya kabisa. Kuna mambo ya msingi yanatusumbua umeme. Fedha rada tena xanaushaidi lakini haxafuatili. Sasa wanaleta hili la viongozi wa dini. Tuache kuzua mambo amboyo hayana msingi

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 25, 2011

    Kwa kweli serikali siielewi kabisa. Nadhani viongozi wa dini waishinikize serikali iwataje na kuwachukulia hatua hao wauza madawa otherwise tunaelekea pabaya na tutaanza kosa imani na viongozi wa dini wote. Nimeshaona kwenye mtandao mmoja watu wameanza kuzozana wakisema kuwa dini zinauza madawa Zanzibar. Hii ni hatari sana watajwe na washughulikiwe. Ina maana sheria ipo kwa ajili ya kina sie tu???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...