Home
Unlabelled
JK akitoka kumuangalia Mhariri wa gazeti la Mtanzania Danny Mwakitereko Muhimbili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Asante sana mheshimiwa rais wetu mpendwa tunakushukuru kwa utendaji mzuri wa kazi katika kutuongoza watanzania na mungu akuzidishie roho ya huruma na upendo ameen
ReplyDeletenimevutiwa sana na huo msafala wa mheshimiwa raisi yani ni mzuri na umependeza sana kuanzia ulinzi wa mheshimiwa rais mpaka magari anayotumia kwenye msafala wake
jambo moja tu ambalo sitochoka kuchangia mada ni kuhusu huyo bodigadi anaevaa sale yani magwanda ningependelea wahusika wabadilishe staili hiyo ya kuwa na bodigadi mwenye magwanda kwani anatia uwoga jamii na kuharibu taswila
ningependelea bodigadi avae nguo za kawaida au hata suti
NIWACHEKESHE KIDOGO WANA JAMII
WAKATI MHESHIMIWA RAIS MTAAFU ALI HASSAN MWINYI ALIPOKUWA RAIS ALIWAHI KUTEMBELEA WODI MBALI MBALI ZA WAGONJWA HOSPITALI YA MUHIMBILI
HALI ILIKUWA KAMA IFUATAVYO
MTAAFU RAIS MWINYI ALITEMBELEA WODI YA WENDAWAZIMU ALIPOFIKA HAPO WODINI MAMBO YAKAANZA
MMOJA KATI YA WENDAWAZIMU ALICHEKA SANA ALIPOMUONA MZEE MWINYI KIASI KWAMBA ALIWASHNGAZA WENGI KWA KICHEKO CHAKE MPAKA IKAFIKIA WAKAMUULIZA HUYO MWENDAWAZIMU UNACHEKA NINI...??
MWENDAWAZIMU...NACHEKA HUYO BWANA ANAELETWA HAPA NA KUNDI LA MAPOLISI NA WANAJESHI MAANA MIMI PAMOJA NA WENDAWAZIMU WANGU WOTE NILIKAMATWA MTAANI NAJISAIDIA BARABARANI NIKALETWA HAPA NA POLISI MMOJA TU
SASA NASHANGAA KUONA HUYO BWANA ANALETWA HAPA NA KUNDI LA MAPOLISI NA WANAJESHI INAONYESHA YEYE ALIFANYA MAKUBWA ZAIDI HUKO MITAANI MPAKA AKASHINDIKANA KULETWA KAMA MIMI IKABIDI WATUMIWE KUNDI LA POLISI NA WANAJESHI KUMFIKISHA HAPA
WATU WOTE HAHAHAHAHAHAHAAAAAA HAHAHAHAHAAAAAA......LOL