Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila(NCCR-Mageuzi) na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Joseph Simbakalia (kulia) wakati wa sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kidahwe-Uvinza kwenye kijiji cha Kazuramimba.
 Engineer Mkuu wa TANROADS Patrick Mfugale akitoa MaelezoMchoro wa Ujenzi wa Daraja la  Malagarasi Mkoani Kigoma baada ya Rais Jakaya Kikwete kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Daraja hilo.
Picha na John Lukuwi




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 06, 2011

    Kazuramimba ni mji ulioanziswa wakati wa ujenzi wa reli ya kati enzi za utawala wa kijerumani.Jina hilo lilitokana na mama wa kijerumani alikufa eneo hilo wakati ujenzi huo ukiendelea akiwa mja mzito hivyo wenyeji wa huko ndio walitoa jina hilo, mzungu kafa na mimba.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...