Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanakwaya ya Kanisa la Moravian ya Mbeya Mjini kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo.
Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Job Lusinde akiwa na Mbunge wa Kigoma Kusini Mh. David Kafulila kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 29, 2011

    Ankal, ni Livingstone Lusinde. Kama sikosei Job Lusinde, waziri wa awamu ya kwanza, ni baba yake.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 29, 2011

    Anonymous kwa kwanza hapo juu: Ni kweli Mbunge wa Jimbo la Mtera anaitwa Livingstone Lusinde. Lakini si kweli kuwa ni mtoto wa mzee Job Lusinde kama ulivyosema, bali ni jina tu (yaani Lusinde) linafanana. Kwa wenyeji wa mkoa wa Dodoma, ndg zetu Wagogo jina la Lusinde lipo katika na familia nyingi hata kama familia hizo hazina uhusiano wa kiukoo.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 30, 2011

    LUSINDE aka MTAMBO!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...