Beki wa Simba, Amir Maftah (kulia) akichuana na beki wa El-Mereikh ya Sudan,Badrr Eldin Eldod katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Kagame kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.Dakika tisini za mchezo huo zimemalika kwa timu hizo zikiwa zimefungana bao 1-1,hivyo zimeongezwa dakika thelathini za zianda na hali ikibaki kuwa hivyo hivyo basi matuta lazima yapigwe mpaka mshindi apatikane.(Picha na Francis Dande ,Globu ya Jamii).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...