Hassan Moshi William akiongoza safu ya ushambuliaji ya Msondo Ngoma usiku wa kuamkia leo wakati wa uzinduzi wa shoo za kila Ijumaa katika kijiji cha Makumbusho, Kijitonyama, Dar. Maonesho hayo yanaanza saa 12 jioni hadi saa sita usiku na wapenzi kibao wa Msondo Ngoma wamefurahia hatua hii
 Rapa machachari Romanus Mn'gande Romario akiwa kazini
 Mambo hadharani
 Safu ya uimbaji ya Msondo Ngoma ni vijana watupu lakini ladha ni ile ile kama kawa
 Vyombo vipya
 Si mchezo
Pangamawe na mwenzie wakisema na nyuzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...