Mtaalam wa INTERIOR DECOS toka London, UK atakuwepo Dar es Salaam mnamo Agosti 22, 23 na 24, 2011.

Muda na ukumbi kwa ajili ya kuona baadhi ya kazi na ushauri wa bure wa jinsi ya kuboresha nyumba vitatajwa baadae.

Pia atafanya home visits na mwenye kuhitaji atume email:
decos@interiordecos.com ili kuweka appointment.
Kwa walio nje ya Dar es Salaam, tuma picha ya nyumba yako na kupata ushauri kwa njia ya mtandao.

Kwa maelezo zaidi tembelea 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 29, 2011

    Kampuni za ughaibuni huwa hazitumii simu za mkononi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...